.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Friday, July 10, 2015

Hizi ndio Sababu za Lupita kunyoa nywele


Nyota wa tuzo ya Oscar kutoka nchini Kenya Lupita Nyong'o ameweka wazi sababu ya yeye kuamua kunyoa nywele zake baada ya ushiriki wake katika filamu maarufu ya '12 Years a Slave'.
 Nyota huyo amesema kuwa sababu hasa ya kunyoa nywele zake ni kuchoshwa na muda wa kwenda kusuka nywele salun na pia kuchoshwa kuwatembelea wataalamu wa masuala ya nywele akielezea zaidi kwamba hapendi kutumia make up ya aina yeyote hata akiwa kwenye hafla za zulia jekundu.

No comments:

Post a Comment