.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Tuesday, July 14, 2015

Hawa wana zali aisee!


Deus Kaseke ambae amesajiliwa na Yanga

Unajua ni zali gani? Wapo baadhi ya wachezaji hawakuota kama wangekuja kucheza michuano ya Kombe la Kagame, lakini ni usajili unaoendelea ndio umewapa zali hilo. Wachezaji hao kama wangebaki katika klabu zao ingekuwa vigumu kwao kuicheza michuano hiyo inayoshirikisha Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati itakayoanza mwishoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment