Kocha Arsene Wenger anasema Mshambuliaji huyo anaweza kuukosa mchezo huo mara baada ya kuwa ameisaidia timu yake ya Chile kutwaa taji la Copa America kwa kuwa atajiunga nao tarehe 3 mwezi ujao na inaweza kuchukua wiki tatu mchezaji kuwa fit tena. Sanchez ataukosa mchezo wa ngao ya jamii wa tarehe mbili dhidi ya Chelsea.
No comments:
Post a Comment