.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Wednesday, July 15, 2015

Alexis Sanchez anahitaji kupumnzika

Alexis Sanchez anaweza kukosa mechi ya kwanza ya msimu katika kikosi cha Arsenal.
Kocha Arsene Wenger anasema Mshambuliaji huyo anaweza kuukosa mchezo huo mara baada ya kuwa ameisaidia timu yake ya Chile kutwaa taji la Copa America kwa kuwa atajiunga nao tarehe 3 mwezi ujao na inaweza kuchukua wiki tatu mchezaji kuwa fit tena. Sanchez ataukosa mchezo wa ngao ya jamii wa tarehe mbili dhidi ya Chelsea.

No comments:

Post a Comment