.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Monday, July 13, 2015

BREAKING NEWS WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, JIJINI DAR ES SALAAM

Watu kadhaa wauwawa Jijini Dar es salaam katika kituo cha polisi (SITAKISHARI) Ukonga na silaha za porwa na watu wanaosadikika n majambazi usiku wa kuamkia leo mida ya saa 5 Usiku.
Habari zinasema kwamba Askari polisi wa nne(4) na mfungwa mmoja(1) na jambazi wauwawa na Bunduki 21 za porwa kituon hapo.
 
 
     
     
            Hizi n Baadhi ya picha za Tukio Hilo la ujambazi




Sundwa.Blgospot.com inazidi kufatilia undani kuhusu Habari hii....

No comments:

Post a Comment