.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Thursday, July 23, 2015

Hatima ya Balotelli Liverpool ipo gizani


Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli ameambiwa kuwa hatima yake ipo mikononi mwake.
Mchezaji huyo mtukutu raia wa Italia kwa sasa hajasafiri na wenzake wa Liverpool katika ziara kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi baadae mwezi Agosti.
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amenukuliwa akisema hana uhakika iwapo ataendelea kuwa na Balotelli Liverpool moja kwa moja katika msimu huu.
Liverpool imefanya ziara ya kujiandaa na ligi katika nchi za Asia , Australia na Malyasia lakini Balotelli yeye hakuwepo.

No comments:

Post a Comment