.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Sunday, November 2, 2014

Profesa Jay, Sugu wafunika uzinduzi CHADEMA Mtandao

Profesa Jay, Sugu wafunika uzinduzi CHADEMA MtandaoMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, juzi uusiku alikonga nyoyo za waalikwa na Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika uzinduzi wa ‘CHADEMA Mtandao.’
Profesa Jay, ambaye alikuwa akisaidiana na msanii mwenzake Mbunge wa Mbyea Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, walikuwa wakitambulisha nyimbo yao inayokwenda kwa jina la M4C, ambayo wataiimbia katika ziara iliyopewa jina la M4C Tour itakayoanza hivi karibuni.
Viongozi, wanachama na waalikwa wengine, walianza kushangilia mara tu mshehereshaji wa uzinduzi wa CHADEMA Mtandao, Ester Wasira alipowataka Profesa Jay na Sugu wapande jukwaani kutumbuiza kidogo na kuelezea namna watakavyofanya ziara yao ya nchi nzima.
Kelele za kushangilia na kuonyesha vidole vitatu zilisikika wakati wasanii hao wakichana mistari 

No comments:

Post a Comment