.

.

TUMIA VIDOLE

TUMIA VIDOLE
PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918 PATA HABARI MBALI MBALI KUTOKA KATIKA BLOG HII PIA TANGAZA AU TOA MAONI KUPITIA Email:Luzunhowhiser@gmail.com OR Cell: 0653394330 OR 0755560918sundwa.Blogspot.com

Monday, October 27, 2014

Mkenya ashinda mbio za Frankfurt

kiptoo
Mark Kiptoo ameimarisha ushindi wake katika mashindano ya mbio za Frankfurt mwaka huu baada ya kuibuka mshindi.
Kiptoo mbaye alimaliza katika nafasi ya pili mwaka uliopita aliwaongoza wanariadha wengine wa Kenya kushinda nafasi tatu bora katika mbio za wanaume.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 38 ambaye alishinda medali ya shaba katika mbio za mita 5000 katika mashindano ya jumuiya ya madola ,alimaliza mbio hizo na saa 2,dakika 6 na sekunde 49,katika mbio za kusisimua ambazo ziliamuliwa ikiwa imesalia kilomita moja.
Mike Kigen alimaliza katika nafasi ya pili kwa saa 2 dakika 6 na sekunde 59 naye Gilbert Yegon akawa wa tatu kwa saa 2 dakika 7 na sekunde 8 baada ya bingwa mtetezi pia kutoka kenya kupoteza uongozi na kundi la kwanza katika kituo cha kilomita 30.

No comments:

Post a Comment